1 |
Tafadhali tumia menyu ya kushoto ili kuweza kuangalia ankara, kutuma usomaji, kutoa taarifa ya mivujo, kutoa taarifa ya wizi wa maji au kutuma malalamiko.
|
2 |
Katika mfumo huu mteja/mwananchi anatakiwa kutuma taarifa ambazo ni sahihi. Mfumo unarekodi taarifa ya eneo la mteja/mhusika wakati wa kutuma habari (Usomaji au taarifa za wizi) |
3 |
Taarifa zitakazowekwa zitakua ni siri kwa ajiri ya matumizi ya ofisi tu.
|
4 |
Namba za simu zinazowekwa na mtoa taarifa ziwe sahihi (mpangilio ni: 0742111333), kwani watumishi wa Mamlaka ya Majisafi Mbeya wanaweza piga simu kwa ajiri ya ufatiliaji zaidi.
|
5 |
Kwa usomaji wa uniti za dira nyumbani, mtumaji lazima atume pamoja na picha aliyopiga kwa wakati husika. Kamera itakayotumika iwe inatoa picha vizuri.
|
6 |
Kwa maelezo zaidi, tafadhali piga simu ya bure ya MAMLAKA NAMBA: 0800110088
|